Danford W.S MPUMILWA

English | Kiswahili
 
Home Profile Vision Events Photos Links Comments
Njombe trip  

Topical Topics 16 January 2012

Dear readers

Hizi ni picha chache za safari yangu kwenda Njombe kuhiji kijijini Ilembula. Kama unavyoona safari yoyote ile ina vituko vyake na maudhui mbalimbali ya barabarani na jumuiani.

Hapa ni kuelekea Bonde la Ruaha kutoka Mikumi. Mambo ndiyo hivyo tena kuna gari limepinduka na kuzuia njia

Hata inyeshe ya mawe nimeamua mambo yote ni 'Njobne leo'

Nikiwa nafuata ulanzi Mtwango mbele ya Makambako nakutana na Bibi huyu Semhanja na mjukuu wake wakitoka kwenye 'kilimo kwanza'. Mjukuu hajasahau mboga mfukoni.

Hapa ndio kwenye Ikulu yangu Ilembula - Mtu kwao! Nimefika salama.

     

Pamoja na hayo Mikumi wanyama walijitokeza kwa wingi kunikartibisha

Madereva hao wana vichaa mlima wa mbele ya Mafinga

Nimekaribia Njombe sehemu za kibena nikavutiwa na shamba hili la chai. Naomba Mungu anijalie na mimi nije kuwa na shamba kama hili.


Home Profile Vision Events Photos Links Contacts
Powered by : www.annawebdesign.com